Sunday, April 22, 2018

BONBON KOJAK MUSICIEN DE WERRASON KUMPOKEA YESU KRISTO.

BONBON KOJAK MUSICIEN DE WERRASON


Aliyekuwa DANCER wa kundi la WERRASAN "BONBON KOJAK MUSICIEN DE WERRASON" Hivi karibuni alisikika kwenye vipindi cha redio na Television akitoa ushuhuda kuwa kwa sasa ameamua kumpokea Bwana Yesu Kristo , mana shetani alimtesa kwa Muda mrefu ila sasa Yesu kamuokoa. Unaweza ukatazama maojiano yake na mtangazaji mmoja kutoka kule DRC CONGO.

Share:

0 comments:

Post a Comment